Mwimbaji Zahara Alieimba Wimbo wa "Loliwe: Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwimbaji Zahara Alieimba Wimbo wa "Loliwe: Afariki Dunia


Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Afrika Kusini Zizi Kodwa amethibitisha kutokea kwa kifo cha Mwimbaji maarufu wa Nchi hiyo aitwaye Bulelwa Mkutukana maarufu kama Zahara (35) ambaye alitamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘loliwe’


Zahara amefia Hospitalini Jijini Johannesburg alikokuwa akipatiwa matibabu kutokana na matatizo ya ini yaliyoanza kumsumbua wiki mbili zilizopita.


Kabla ya kifo chake leo, Mwimbaji huyo amekua akizushiwa kifo mtandaoni hivi karibuni hadi kulazimu familia yake kukanusha mara kwa mara na kutaka Watu wamuombee mema.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad