Bondia Mwakinyo Apokewa Dar es Salaam na Mkanda wa WBO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kufuatia Bondia Hassan Mwakinyo kufanya yake usiku wa kuamkia leo kule Visiwani Zanzibar baada ya kishinda kwa KO raundi ya 7 kwa kumdondosha mpinzani wake Mghana hatimaye amewasili Jijini Dar es salaam huku akipokelewa na mashabiki pamoja na wananchi Kifalme.

Mwakinyo alifanikiwa kuipeperusha Bendera ya Tanzania usiku wa kuamkia leo kwa kufanikiwa kubeba Mkanda wa WBO.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad