Hersi, Try Again Meza moja na Mwijaku Hamasa Timu za Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Hersi, Try Again meza moja na Mwijaku hamasa Timu za Taifa

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro ameteua kamati maalum kwa ajili ya hamasa kwa timu za taifa zilizofuzu mashindano mbalimbali ya kimataifa.


Kamati hiyo inaundwa na Mwenyekiti, Theobald Sabi na makamu wake, Patric Kahemela pamoja na wajumbe wengine 17.


Rais wa Klabu ya Yanga, Hersi Said pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Salim Abdallah maarufu Try Again ni miongoni mwa wajumbe hao.


Wengine ni: 1. Neema Msitha - Katibu


2. Beatrice Singano - Mjumbe


3. Michael Nchimbi - Mjumbe


4. Jemedari Said - Mjumbe,


5. Nick Reynolds (Bongo Zozo) - Mjumbe


6. Hamis Ali - Mjumbe


7. Christina Mosha (Seven) – Mjumbe


8. Paulo Makanza – Mjumbe


9. Mohamed Soloka - Mjumbe


10. Hassan Raza - Mjumbe


11. Lucas Mhavile (Joti) - Mjumbe


12. Oscar Oscar - Mjumbe


13. Prisca Kishamba - Mjumbe,


14. Burton Mwemba (Mwijaku) - Mjumbe,


15. Clayton Chipondo (Baba Levo) - Mjumbe.


Jukumu la kamati hiyo ni kuhamasisha wapenzi wa michezo kujitokeza kuzishangilia na kuziunga mkono timu za taifa pamoja na kuratibu hafla maalum ya harambee ya kuzichangia timu hizo. Harambee hiyo itafanyika Januari 10, 2024 jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Johari Rotana ambapo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa atamuwakilisha Rais, Samia Suluhu Hassan.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad