AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa timu ya Taifa ya Senegal Aliou Cissé ameyapokea matokeoa ya jana kwa huzuni kwa sababu wao kama timu walijiandaa kubeba ubingwa wa AFCON.
“Tumeumia sana kupoteza ,na hii ni kwa wachezaji na hata watu waliopo Senegal kwa sababu imani yetu ilikuwa kushinda hili taji ,kulikosa ni aibu kwetu”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK