Timu Zilizotabiriwa Makubwa Kombe la AFCON Zatolewa nje ya Mashindano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika Kombe la Mataifa ya Afrika 
2023. baadhi ya Timu zilizopewa nafasi kubwa ya kutwaa taji hili tayari zimeaga

1. Timu ya Taifa ya Misri iliyoshinda taji hilo mara nyingi zaidi katika historia ya mashindano hayo, ilitolewa katika hatua ya 16 bora.

2. Cameroon timu ya pili kwa mafanikio katika historia ya mashindano hayo, ilitolewa katika hatua ya 16 bora.

3.Senegal, bingwa kwa msimu uliopita, ametolewa katika hatua ya 16 bora.

4.Ghana, timu ya tatu kwa mafanikio katika historia ya mashindano hayo, ilitolewa katika hatua ya makundi.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad