AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kuna wanawake wengine wanajisafisha kila siku kama mtu anavyopiga mswaki meno yao. Anajisafisha kila siku kwenye sehemu ya uke ya ndani hiyo pia ni tabia ambayo si rafiki maana yake inafanya ile sehemu viji-bacteria vilivyoumbiwa kuwepo pale kuondoka kwahiyo ile sehemu inabaki kama ni lindo ambalo halina walinzi kwahiyo vijidudu vya bacteria na maadui wanaingia muda wowote na wanajinafasi kwa sababu hakuna ulinzi. Kwahiyo wanawake wengi wanapata UTI Sugu sababu kubwa nyingine ni hizo" Dr Ikrah Abdallah, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Hospital ya Rufaa ya Mkoa Wa Temeke
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK