TETESI: Benchikha Amkataa Clatous Chama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Inasemekana Viongozi wa klabu ya Simba watakuwa na kikao cha nidhamu na kiungo wao Raia wa Zambia Clatous Chama leo kwa njia ya mtandao akiwa huko huko Zambia kwenye majukumu ya Timu ya Taifa.

Kocha wa kikosi cha wekundu wa Msimbazi Abdelhak Benchikha hajafurahishwa na nidhamu ya Chama hata baada ya kumkosea kocha wa Viungo hakujaribu kuomba hata radhi na akionekana akitoa vijembe kwenye mitandao ya kijamii, hatua hiyo imemfanya Benchikha kawaambia mabosi wa Simba kuwa anahitaji mbadala wa Chama atakayeweza kuziba nafasi yake vyema, Benchikha alisema hataki mchezaji ambaye atajiona yupo juu ya makocha, wachezaji na hata Viongozi.

Huu huenda ukawa mwisho wa mwamba wa Lusaka katika kikosi cha Msimbazi, Je mashabiki watakubaliana na kuachwa kwa mchezaji wao pendwa Chama!?

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad