AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kujikunja utumbo, matatizo ya mapafu na shinikizo la damu.
Akitangaza kifo cha Waziri Mkuu huyo wa zamani na mgombea wa urais mwaka 2015, Makamu wa Rais, Dk Isdore Mpango alisema Lowassa alikuwa akiugua kwa muda mrefu na Januari 14 alilazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).
DK Mpango alisema kabla ya kifo Lowassa pia alipelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK