AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Mo Music ameeleza kuwa Baba Levo alistahili kupigwa na Harmonize, huku akidai kuwa hata angekuwa yeye angefanya hivyo hivyo.
Mo ameyasema hayo kupitia mahojiano na moja ya chombo cha habari nchini kwa kueeleza kuwa inauma sana mtu anapokusema vibaya katika utafutaji wako bila kujali changamoto unazopitia, ambapo alidai kuwa Harmonize alikuwa sahihi kumpiga Baba Levo.
Ikumbukwe kuwa week iliyopita Baba Levo ‘aliposti’ katika ukurasa wake wa Instagram akidai ameshambuliwa na Harmonize bila kueleza sababu ya shambulio hilo na amedai kuwa kwasasa kesi hiyo iko polisi.
Kufuatiwa na tukio hilo mwanamuziki Harmonize hajazungumza chochote mpaka sasa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK