AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Alex Mkama amesema tukio hilo limetokea February 02,2024 na kifo chao kimesababishwa na Kupigwa na radi.
“Niwatahaharishe Wananchi kuchukua tahadhari kutokana na mvua zinazonyesha zimekuwa za radi na upepo hivyo kuhakikisha wanakuwa waangalifu na kuchukua tahadhari zote”
Miili ya marehemu imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Wilaya Mvomero .
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK