Asilimia 90 ya Watanzania Wanaifuatilia Timu ya Yanga tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Asilimia 90 ya Watanzania Wanaifuatilia Timu ya Yanga tu


Utafiti mdogo unaonesha asilimia zaidi ya 90 ya Watanzania kwa sasa hivi, wanaifutilia zaidi klabu ya Yanga kuliko klabu nyingine yoyote Tanzania hii. Kuanzia mitaani, runingani na mitandaoni.

Mbali ya ubora wa kikosi chao, hata kukutana kwa Wajukuu hawa wa Nyerere (Yanga) na Wajukuu wa Mandela (Mamelodi) kumeongeza mvuto kwa habari za klabu Yanga zaidi.

Mbali ya klabu kama klabu, hata msemaji wa Yanga amekuwa akiteka hisia za watu akiongelea masuala ya klabu yake tofauti na wasemaji wengine.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad