AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshambuliji wa Kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga hapo jana aliisaidia Klabu yake ya Al Nassr kubeba ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia baada ya kushinda mechi yao dhidi ya Al Hilal kwa goli 4-2 huku yeye akifunga goli moja.
Pongezi nyingi kwa Clara kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK