AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Supastaa wa muziki Africa, Diamond Platnumz amempongeza msanii wake Zuchu kwa kuweka historia ya kuwa msanii wa kwanza wa kike kutoka Afrika Mashariki kuwa na video yenye views zaidi ya milioni 100.
Hii ni baada ya ngoma ya Zuchu #Sukari ambayo hajamshirikisha mtu yeyote, kugonga views milioni 100 kwenye platform ya YouTube.
"Ukiona kwa macho ni kama jambo la kawaida, ila sasa unapojaribu kufanya ndio unajua uzito wake!! Sukari: by female artist 100% Swahili song!, no feature! 100m viewers! ni heshima kubwa kwa @wcb_wasafi, music industry na nchi," ameandika Diamond Platnumz.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK