AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndoa ya Nyota wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Cameroon, #GeremiNjitap ipo katika mchakato wa talaka baada ya kubainika Watoto Mapacha waliozaliwa Mwaka 2008 miaka minne kabla ya kufunga ndoa na mkewe, Toukam Fotso Laure Verline si wake Kibaiolojia
Geremi (45) amefungua kesi Mahakamani akitaka ndoa ivunjike baada ya Vipimo vya Vinasaba (DNA) kuonesha Mapacha hao ambao mkewe alimuaminisha ni wa kwake, ni wa mwenza wa zamani wa Toukam
Nyaraka zilizovuja Mtandaoni zimeonesha Geremi amelalamika kukosewa heshima na mkewe ambaye alikuwa akimtolea lugha ya dharau mbele ya Watoto hao pia walikuwa na migogoro ya mara kwa mara
Geremi akiwa Beki wa Kulia mwenye uwezo wa kucheza nafasi ya Kiiungo Mkabaji alicheza pia katika Timu za Real Madrid, Middlesbrough na Newcastle United
-
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK