Huyu Hapa Mrembo Kutoka Czech Aliyeshinda Miss World 2024

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Mrembo kutoka Czech ashinda Miss World 2024« NyumaMbele »Comments (0)Listen to Article

 


Mwanadada Krystyna Pyszkován kutoka nchini Czech Republic ameshinda taji la Miss World 2024.


Fainali ya mashindano imefanyika jioni ya leo Machi 9, 2024 katika Jiji la Mumbai nchini India yalikokuwa yakifanyika mashindano hayo.


India iliandaa shindano la 71 ambapo washiriki kutoka nchi 115 walikuwa wakichuana kila mmoja akiwa na ndoto ya kurudi na taji hilo nchini mwake.


Miss Tanzania 2022, Halima Kopwe alikuwa miongoni mwa washiriki wa shindano hilo ambapo alitinga kumi bora katika kipengele cha ‘Beauty with Purpose Project’.


Taji hilo mwaka jana Miss World 2022 lilienda kwa Karolina Bielawska wa Poland ambaye mrithi wake Krystyna Pyszková amepatikana leo.


Waliomaliza 'top four' 1. Krystyna Pyszková wa Jamhuri ya Czech 2. Yasmina Zaytoun wa Lebanon 3. Aché Abrahams wa Trinidad 4. Lesego Chombo wa Botswana.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad