FURSA: Unaambiwa Ukioa Mtoto wa Kike wa Rais Museven, Mwanaume Ndio Unapewa Mahari na Rais Huyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

FURSA: Unaambiwa Ukioa Mtoto wa Kike wa Rais Museven, Mwanaume Ndio Unapewa Mahari na Rais Huyo

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema huwa anakataa kupokea mahari kwa ajili ya binti zake, badala yake hulipa mahari kwa familia za vijana wa kiume wanaooa kwake.


Hii ni kinyume na mila na desturi za Kabila la Wanyankole anakotokea Museveni, familia ya bwana harusi mtarajiwa ndio hulazimika kulipa mahari kwa familia ya bibi harusi.


Museveni ambaye ameshaozesha mabinti watatu na kulipa mahari, amesema lengo la hatua yake hiyo ni kutoa somo la mabadiliko kwa jami kutambua kwamba kama inataka kupambana na unyanyasaji wa kijinsia na kufikia uwezeshaji wa wanawake, ni vyema msichana aende 'kibabe' kwa mumewe.


Museveni alibanisha hayo jana Machi 8, 2024 wakati akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, akisema familia nyingi za Wanyankole ambazo zimetajirika kutokana na ufugaji wa ng'ombe kibiashara chini ya uongozi wake, zimeachana na tabia ya kutoa na kuomba mahari, hususani ng'ombe.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad