Jacque Maribe Ateuliwa Kuwa Mkuu wa Mawasiliano Wizara ya UTUMISHI wa Umma Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri Moses Kuria alimteua aliyekuwa mtangazaji wa Citizen TV Jacque Maribe kuwa mkuu wa mawasiliano katika wizara yake
Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kumpongeza Maribe kwa kuteuliwa katika Wizara ya Utumishi wa Umma

Uteuzi huo unajiri mwezi mmoja baada ya Maribe kuachiliwa katika kesi ya mauaji iliyomhusisha marehemu mfanyabiashara Monica Kimani

Aliyekuwa mtangazaji wa runinga ya Citizen Jacque Maribe amepata ajira katika utawala wa Kenya Kwanza Alliance.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad