Msanii Marioo Aburuzwa Mahakamani Adaiwa Milioni 550

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki, Omary Mwanga maarufu ‘Marioo’ anayedaiwa TZS milioni 550 kwa madai ya kuvunja mkataba, anatarajiwa kufika mahakama Kuu Masjala ya Wilaya ya Arusha Machi 18 na 19 mwaka huu kwa ajili ya kujibu tuhuma hizo.

Marioo pamoja na meneja wake, Sweetbert Mwinula wanadaiwa kuvunja mkataba wa kutumbuiza katika hafla ya Mr & Miss Vyuo Vikuu Kanda ya Kaskazini madai yaliyotolewa na kampuni ya Kismaty inayojihusisha na kuandaa matukio ya burudani mbalimbali nchini.

Kampuni hiyo imedai kwamba Septemba 23, 2021 iliingia mkataba na Marioo kutumbuiza katika shindano hilo kwa gharama ya TZS milioni 15 katika tukio lililopagwa kufanyika Septemba 24 na hafla nyingine iliyopangwa kufanyika Septemba 25 Blue Stone Lounge huku ikieleza kuwa Septemba 17 iliwalipa wadaiwa TZS milioni 8 na wakati wa kutia saini iliwalipa TZS milioni 15.

Kampuni hiyo imedai kuwa Septemba 25 wadaiwa hawakuonekana kwa ajili ya kutumbuiza Blue Stone kama ambavyo walikubaliana katika mkataba.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad