Jeshi la Polisi Wataja Sababu za Kupiga Marufuku Namba za 3D

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jeshi la Polisi Wataja Sababu za Kupiga Marufuku Namba za 3D


Jeshi la Polisi nchini limetaja sababu za kupiga marufuku namba za magari zilizoongezwa ukubwa (3D), ambapo limesema sababu kubwa ni kwamba hazisomeki kwa urahisi hasa nyakati za usiku kwani hazing'ai, pia hazisomeki kwa urahisi kwenye mifumo ya kielektroniki.
.
Jeshi hilo limetoa sababu hizo kupitia mitandao yake ya kijamii, ambapo limebainisha sababu zingine kuwa ni, hazitengenezwi kwa kuzingatia viwango na sheria za nchi, malighafi zinazotumika kuzitengeneza ubora wake haujathibitishwa na TBS, ni rahisi kutumiwa na wahalifu kutenda uhalifu pia zinatengenezwa na wasiotambulika kisheria.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad