AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kwangu sijawahi kuutazama mchezo wa mpira wa miguu kwenye kujilinda zaidi (kupark bus) bali nautazama mpira wa miguu kama burudani ambayo inapaswa kuambatana na matokeo mazuri, hakuna kitakachobadilika dhidi ya Yanga, kuhusu mbinu ni siri yangu na Wachezaji wangu, naamini tuna Kaka na Dada wengi tu hapa Tanzania ambao watakuja kutushangilia”
- Rulani Mokwena, Kocha wa Mamelodi Sundowns
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK