Kufungwa Kwa Yanga Mjadala wa Yanga Kununua TIMU Zingine Umeisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


YANGA jana kafungwa ghafla tu ule mjadala wa GSM kudhamini timu nyingi umeisha, ndipo hapo utakuja kugundua shida haikuwa udhamini, shida ilikuwa ni propaganda kutokana na FORM ya Yanga.

Au angefungwa Azam ghafla tu ule mjadala wa Dube ungeshika kasi, wangekazia suala la Viongozi wa Azam kuwa Mashabiki wa hizi timu za Kariakoo, huenda wale wenye mlengo wa Yanga wangekuwa matatizoni.

Ikianza tena kushinda mfululizo utaibuka mjadala mwingine, huenda ukaja wa kwanini Viongozi wao wanaenda uwanjani kila mechi, Tanzania hii hakishindikani kitu😀
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad