AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bondia Francis Ngannou licha ya kupoteza mechi ya Jana dhidi ya Antony Joshua amevuna kiasi cha Dollar Million 20 (Billion 51 TZS).
Kiwango hiki ni kikubwa zaidi ya kile alichowahi kukusanya kwenye michezo ya UFC kwa miaka saba (7) ambapo alivuna Dollar Million 3.5 (TZS Billion 8.9).
Katika mapambano mawili aliyopigana dhidi ya Tyson Fury na Antony Joshua amekusanya jumla ya Dollar Million 30 (TZS Billion 76.5).
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK