AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa vichekesho Umar Iahbedi Issa anajulikana kwa jina maarufu la "MZEE WA MJEGEJE" amefariki dunia leo Alfajiri katika Hospital ya Mwananyamala alipokuwa anapatiwa matibabu.
Meneja wa msanii huyo, Real Jimmy amethibitisha taarifa hizo za kifo cha msanii wake anayekaa Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Chanzo cha kifo chake kinatajwa alikuwa anaumwa maradhi ambayo hayajawekwa wazi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK