MZEE WA MJEGEJE" Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa vichekesho Umar Iahbedi Issa anajulikana kwa jina maarufu la "MZEE WA MJEGEJE" amefariki dunia leo Alfajiri katika Hospital ya Mwananyamala alipokuwa anapatiwa matibabu.

Meneja wa msanii huyo, Real Jimmy amethibitisha taarifa hizo za kifo cha msanii wake anayekaa Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.

Chanzo cha kifo chake kinatajwa alikuwa anaumwa maradhi ambayo hayajawekwa wazi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad