AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inavyoonekana Feitoto hawekwi kwenye orodha ya wachezaji wanaofanya vizuri kwenye Ligi, hana wazungumzaji wengi kwa maana ya mashabiki.
Mara nyingi Azam ikizungumzwa basi inazungumzwa na waandishi wa habari lakini sio mashabiki wa mchezo wenyewe.
Kwa hiyo unakuta habari za Feitoto kufanya vizuri sio kubwa mitaani lakini msimu huu umemuwa bora kwake. Namba alizonazo hadi sasa pengine hajawahi kuwa nazo tangu ameanza kucheza Ligi Kuu ya bara [kuhusika kwenye magoli 17] huku msimu ukiwa bado haujamalizika.
Anastahili pongezi kwa hiki anachokifanya, ukitazama mapito aliyopitia kabla ya kujiunga na Azam usingetarajia kama angeweza kuwa katika ubora huu kwa haraka kiasi hiki.
Msimu bado haujamalizika, Feitoto anaweza kufanya vizuri zaidi ya hapa. Mwalimu wa Azam anamtumia Feitoto nyuma ya mshambuliaji kiongozi, kwa hiyo mara nyingi anafika kwenye eneo la box la wapinzani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK