AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Abdulrazak amekana kwamba alikuwa akilelewa na Diva. Akihojiwa na Rickmedia , Abdul amesema kuna mambo Diva alikuwa akiyafanya kwake kwa mapenzi yake mwenyewe
Vilevile, Abdul ameweka wazi kuwa yeye kwa mwezi hana uwezo wa kulipia kodi ya shilingi milioni 5 katika nyumba aliyokuwa akiishi mtangazaji huyo maarufu. Abdul amesema hawezi kupoteza milioni 5 kwa kodi tu wakati ana mambo mengine ya muhimu ya kufanya
Baada ya hapo, Diva ameona post husika na kumkoromea Abdul aache maneno mengi bali ampe talaka yake ambayo amekuwa akiidai kwa muda sasa ila Abdul hataki kutoa talaka licha ya Diva kusema kachoka kuumizwa katika ndoa kwa mambo mengi anayofanyiwa na Abdul ukiwemo usaliti wa mara kwa mara
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK