UPDATES: Ajali Mbili za Mashabiki wa Simba, Mmoja Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ajali Mbili za Mashabiki wa Simba, Mmoja Afariki Dunia

Uongozi wa Simba SC kupitia Idara yao ya habari wamethibitisha kutokea kwa ajali mbili za mashabiki waliokuwa wakitokea mikoani kuja Dar es Salaam

Kwenye ajali hizo mbili tofauti ,shabiki mmoja amepoteza maisha na wengine kupata majeraha .

Niungane na Simba pamoja na wadau wengine wa mpira wa miguu kutoa pole kwa wote waliohusika moja kwa moja kwenye ajali hizi pamoja na kumuombea aliyetangulia mbele ya haki apumzike salama.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad