AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga na Azam hawajawahi kutupa game mbovu , wanatoa mchezo bora sana : High Intensity , Ufundi wa hali ya juu na magoli utashuudia .
Yanga kama kawaida yao 4-2-3-1 , Sure na Muda kwenye viungo wawili wa chini . Yanga wakiwa na mpira hawakubadilisha “Script yao” Muda anasogea juu sawa na Pacome / Mzize , Maxi na Aziz Ki ambao walikuwa wanacheza kwenye mstari mdogo sana wa kiungo cha Azam . Kivipi ?
Azam walizuia wakiwa chini sana 5-3-2 na walikuwa karibu karibu sana pia hawakuacha nafasi kwenye maeneo matatu (Ulinzi , Kiungo na Ushambuliaji) waliwalazimisha Yanga kuunda mashambulizi kupitia pembeni ya uwanja , then walinzi wa katikati walicheza mipira mingi ya juu … Yanga walipata nafasi za wazi ni wao tu . UFANISI MDOGO .
Yanga wasipokuwa na mpira walikuwa wazi sana , hasa kwenye eneo la kiungo (Muda Aziz na Maxi walikuwa mbali sana na Sure …. Azam walitengeneza “Overload” walipata nafasi kubwa sana : utulivu , umakini kwenye maamuzi yao ndio hayakuwa sahihi . Yanga baada ya kuona Azam wapo chini walicheza na wachezaji wengi wenye “Attacking Minded” lakini bado walikosa nafasi eneo la mbele .
NOTE:
Yanga wanamuhitaji “Aucho” kwenye kiungo aisee wapo wazi sana …. Azam hawakuhitaji kazi kubwa kuivuka kiungo cha Yanga .
Feisal “Goli la 13” Anawapa Azam Alama 3 …. Yahya Zaid Azam wakianza “Build Up” 🔥 …. Kipre Jr Kasi , Ufundi ✅
Job amecheza vizuri sana : Sure akiwa na mpira 🔥
FT: Azam 2-1 Yanga
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK