AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
>Yanga ilizaliwa Mwaka 1935 wakati Mamelodi ilizaliwa 1970.
>#YangaSC ni Bingwa Mara 29 wa Ligi wakati Mamelodi ni Bingwa Mara 16 tu wa Ligi.
>#Yanga amecheza Fainali ya CAF CC, #mamelodi hajawahi kufika Fainali ya CAFCC Mafanikio yake kwenye CAFCC ni kugika Group Stage tu.
>Raisi wa Yanga Hersi Said ni Mwenyekiti wa Vilabu vyote barani Afrika, Mmiliki wa Mamelod Motsepe ni mfanyabiashara Mkubwa Afrika.
>Yanga ni miongoni mwa Timu mbili zenye Mashabiki wengi zaidi Tanzania wakati Mamelodi ni sawa na Azam huko Afrika Kusini. Timu zinazoongoza kuwa na Mashabiki Afrika Kusini ni Kaizer Chief na Orando Pirates.
>Yanga inatumia Uwanja wa Mkapa kama Uwanja wa Nyumbani wenye uwezo wa kuingiza Mashabiki 60K, Mamelodi Uwanja wao unabeba Mashabiki 51K
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK