Berkane Wapewa Ushindi wa Mezani na CAF Dhidi ya USMA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shirikisho la soka Afrika (CAF) wameipa ushindi wa mabao 3-0 Klabu ya RS Berkane dhidi ya USMA Algiers ya Algeria, hii inakuja baada ya Klabu, Mamlaka za soka Algeria na serikali kuzuia jezi za Berkane zenye ramani ya Morocco ikiwa na eneo la Western Sahara na kupelekea mchezo huo usipigwe, CAF pia wameweka wazi USMA wanapaswa kusafiri kuelekea Morocco kucheza mchezo wa marudiano weekend hii na endapo hawatotokea watafungiwa.

[Source: ‪Joueurs Marocains‬ 🇲🇦]
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad