BREAKING: Amos Makalla Achaguliwa Kuwa Katibu Mwenezi wa CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

BREAKING: Amos Makalla Achaguliwa Kuwa Katibu Mwenezi wa CCM


Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo April 03, 2024 jijini Dar Es Salaam, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na masuala mengine imemchagua Amos Gabriel Makalla kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, akichukua nafasi ya Ndug Paul Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad