Chama Apewa Zawadi ya Kitimoto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Chama Apewa Zawadi ya Kitimoto

Shabiki wa Simba Simon Mkondya ambaye ni Mfanyabiashara na Mfugaji kutoka Jijini Dodoma ( 104.4), amemtaka Wachezaji wa Simba Clatous Chama na Kibu Dennis kwenda kuchukua zawadi ya Nguruwe shambani kwake ikiwa ni ahadi yake ya kutoa Nguruwe mmoja kwa kila goli Simba watakalofunga.


“Kibu Dennis na Chama tumeona tuwapatie Nguruwe mmoja mkubwa ambaye ana mimba, mwenye kilo 500 ambaye atazaa Watoto 21 mwezi wa sita wao watajua wanagawana vipi.


"Nguruwe anazaa kwa mwaka mara tatu ni sawa na Nguruwe 63 ambao wakiweza kuishi kwa muda wa miezi sita kila Nguruwe anauzwa shilingi milioni moja kwa maana ni kwamba watakwenda kupata zaidi ya milioni 63,” amesema Mkondya.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad