Diamond Platnumz Amjibu Harmonize: Acha Nijivunie Nyie Ndio Wanangu wa Dhahabu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Diamond Platnumz Amjibu Harmonize: Acha Nijivunie Nyie Ndio Wanangu wa Dhahabu
Harmonize and Diamond Platnumz

Majibu ya @diamondplatnumz kwa @harmonize_tz baada ya kuonyesha kuchoshwa na kauli ya Diamond kusema kwamba alimemtoa Kimuziki kupitia lebo yake ya muziki, WCB Wasafi;

"Tajiri na mali zake, masikini na wanawe, asa mali sina mzee Konde, acha nijivunie nyie ndio wanangu wa dhahabu, nikitoa наро nahamia kwa wajukuu zangu sasa kina ibra, mac voice etc".

"Kwenye 15 years nataka tufanye event moja ya ukoo mzima and we celebrate kidogo Mungu alichotubariki".
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad