Diamond Platnumz Amnyooshea Harmonize Mikono "Mataji yako yote Nakupa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Diamond Platnumz na Harmonize
Diamond Platnumz na Harmonize


Diamondplatnumz ajiweka pembeni, baada ya majibu ya @harmonize_tz kudai kuwa hawakumbuka wanawe akishakusanya mali zake, na pia hana uwezo wa kumlipa millioni 600 ili kutumbuiza jukwaa moja

"Ooh kumbe una dhamira ya kubishana... mie mnyonge siwezi kubishana na wewe mtu mzito. Mataji yote nakupa, chukua ushindi."

Mzozo wao umeibuka kufuatia @diamondplatnumz kutangaza kuandaa show maalum ya miaka 15 kwenye muziki, huku akitamani uwepo wa wasanii ambao amewahi wasaini kupitia lebo ya WCB Wasafi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad