AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Inter Milan imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu nchini Italia 'Serie A' baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya mahasimu wao kutoka jiji la Milan AC Milan.
Inter imefikisha alama 86 ikiwa ni tofauti ya alama 17 dhidi ya AC Milan wanaoshika nafasi ya pili na imesalia michezo 5 kabla msimu kumalizika.
Ni kwa mara ya kwanza kwenye History ya 'Serie A' Bingwa wa ligi hiyo amepatikana baada ya kushinda mchezo wa dabi ya jiji la Milan inayofahamika kam 'Dabi Della Madonnina'.
Huu unakua ubingwa wa 20 wa 'Serie A' kwa klabu hiyo ya Inter Milan.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK