AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahodha na Golikipa wetu, Beno David Kakolanya, amejibu barua ya wito kuwa hatoweza kufika kwenye kikao cha kamati kwa sababu anaamini kamati haitamtendea haki wakati tayari ameshatuhumiwa.
Lengo la wito wa kamati ya nidhamu lilikuwa ni kumpa nafasi ya kujibu tuhuma hizo.
Kwahiyo suala la yeye kukataa wito tunaliacha kwenye maamuzi ya kamati tuone itaamuaje.
Kakolanya alipewa barua ya wito April 15 2024 ikimtaka kufika mbele ya kamati ya nidhamu Aprili 19 2024 kujibu kuhusu kitendo cha utoro na kuhujumu timu siku chache kuelekea mechi muhimu dhidi ya Yanga SC.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK