Kipa Beno Kakolanya Mwamba Sana, Agomea Wito wa Kamati ya Nidhamu Singida FG

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Afisa habari wa @singidafountaingatefc Hussein Masanza amesema

Nahodha na Golikipa wetu, Beno David Kakolanya, amejibu barua ya wito kuwa hatoweza kufika kwenye kikao cha kamati kwa sababu anaamini kamati haitamtendea haki wakati tayari ameshatuhumiwa.

Lengo la wito wa kamati ya nidhamu lilikuwa ni kumpa nafasi ya kujibu tuhuma hizo.

Kwahiyo suala la yeye kukataa wito tunaliacha kwenye maamuzi ya kamati tuone itaamuaje.

Kakolanya alipewa barua ya wito April 15 2024 ikimtaka kufika mbele ya kamati ya nidhamu Aprili 19 2024 kujibu kuhusu kitendo cha utoro na kuhujumu timu siku chache kuelekea mechi muhimu dhidi ya Yanga SC.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad