Kocha Mamelodi Aivulia kofia Yanga, "Walituzidi Kila Eneo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kocha Mamelodi Aivulia kofia Yanga, "Walituzidi Kila Eneo"

Baada ya kuishuhudia Timu yake ikifuzu kwa mbinde kwa changamoto ya ,mikwaju ya penati 3-2 dhidi ya Yanga mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa.


Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rulani Mokwena kwenye mkutano na Waandishi wa Habari amesema;


“Kwa kifupi sina cha kusema kuhusu Yanga wamenizidi karibia kila eneo kwenye michezo yote miwili hilo napaswa kulikubali, lakini pia siwezi kuzungumzia kuhusu goli lao kama ni halali au sio halali kwakuwa naelewa hata ingekuwa mimi ni Yanga nisingesema tofauti”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad