AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga SC walisimama imara dhidi ya Mamelodi Sundowns katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini wakapoteza kwa mikwaju ya penalti. Licha ya kushindwa kusonga mbele, lakini wachezaji kadhaa wa @yangasc walionyesha kiwango bora zaidi, wakivutia vilabu vya DStv Premiership.
Kwa mujibu FARPost, jukwaa la habari za michezo la mtandaoni la Afrika Kusini, wamewataja nyota watano wa Wananchi ambao wanaweza kuvivutia zaidi vilabu vya Afrika Kusini na pengine wakasajiliwa huko msimu ujao;
1. Djigui Diarra 🇲🇱 (Golikipa)
2. Stephane Aziz Ki 🇧🇫 (Kiungo mshambuliaji)
3. Ibrahim Hamad 🇹🇿 (Beki wa Kati)
4. Maxi Nzengeli 🇨🇩 (Kiungo mshambuliaji)
5. Yahya Mudathir 🇹🇿 (Kiungo)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK