Yanga SC walisimama imara dhidi ya Mamelodi Sundowns katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini wakapoteza kwa mikwaju ya penalti. Licha ya kushindwa kusonga mbele, lakini wachezaji kadhaa wa @yangasc walionyesha kiwango bora zaidi, wakivutia vilabu vya DStv Premiership.
Kwa mujibu FARPost, jukwaa la habari za michezo la mtandaoni la Afrika Kusini, wamewataja nyota watano wa Wananchi ambao wanaweza kuvivutia zaidi vilabu vya Afrika Kusini na pengine wakasajiliwa huko msimu ujao;
1. Djigui Diarra 🇲🇱 (Golikipa)
2. Stephane Aziz Ki 🇧🇫 (Kiungo mshambuliaji)
3. Ibrahim Hamad 🇹🇿 (Beki wa Kati)
4. Maxi Nzengeli 🇨🇩 (Kiungo mshambuliaji)
5. Yahya Mudathir 🇹🇿 (Kiungo)
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.