KUMEKUCHA: CAF Wamtema Refa Aliyekataa Goli la Aziz K

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirikisho la soka Afrika (CAF) limefanya mabadiliko ya timu ya waamuzi kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho kati ya USM Algers dhidi ya RS Berkane ambapo Mwamuzi wa Mauritania, Beida Dahane ameondolewa kwenye nafasi hiyo huku nafasi yake ikichukuliwa na Aziz Bouh Abdel naye wa Mauritania.

Dahane atakumbukwa kwa maamuzi yake ya utata kwenye mchezo wa robo fainali ya CAFCL kati ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Young Africans Sc ambapo alikataa bao halali la kiungo wa Yanga Stephanie Aziz Ki na kuzuia sintofahamu na mashabiki wa soka barani Afrika.

Aziz Bouh Abdel ndiye Mwamuzi aliyechezesha mechi ya hatua ya makundi kati ya Yanga Sc dhidi ya Al Ahly mnamo Desemba 2, 2023 katika dimba la Benjamin Mkapa kwenye sare ya 1-1.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad