AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wenyeji, Everton wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya mahasimu wao, Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Goodison Park, Liverpool.
Mabao yaliyoikata kilimi Liverpool yamefumgwa na Waingereza, beki Jarrad Branthwaite dakika ya 27 na mshambuliaji Dominic Calvert-Lewin dakika ya 58.
Kwa ushindi huo, Everton inafikisha pointi 33 na kusogea nafasi ya 16, wakati Liverpool inabaki na pointi zake 74 nafasi ya pili ikizidiwa pointi tatu na Arsenal baada ya wote kucheza mechi 34.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK