Mamelodi Sundowns si Lolote, Yachapwa nje Ndani Yatolewa Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Safari ya Timu ya #MamelodiSundownsFC ya Afrika Kusini katika Ligi ya Mabingwa Afrika imeishia Nusu Fainali baada ya kufungwa na Espérance de Tunis ya Tunisia goli 1-0

Mamelodi ambayo iliitoa #Yanga kwa penati katika Robo Fainali, imefungwa jumla ya magoli 2-0 kwa kuwa katika mchezo wa kwanza ilipoteza pia

Hivyo, Fainali inatarajiwa kuzikutanisha #AlAhly ya Misri dhidi ya Espérance de Tunis mnamo Mei 18, 2024 kisha marudio ni Mei 25, 2024
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad