AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameshauri Bunge liunde Tume Huru itakayochunguza Kifo alichodai kina utata cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa #Tanzania, Hayati #JohnMagufuli kilichotokea Machi 17, 2021
-
Mpina amesema “Baada ya kusikiliza maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo, ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume Huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Dkt. John Magufuli ili kumtendea haki."
-
Ameongeza “Pia tume hiyo itabaini hata Watu waliokataa kuapishwa kwa #SamiaSuluhuHassan kuwa Rais wa Tanzania wakati ilikuwa ni takwa la Kikatiba."
-
Aidha, Mpina amesema ni vema jambo hilo lifanyike kwasababu mambo hayo yaliyosemwa na Taasisi ambayo sio ya kutiliwa mashaka na Mtu ambaye si wa kutiliwa mashaka, hivyo kuna haja ya hii Tume kuundwa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK