Taarifa Kuhusu Mechi ya Yanga na JKT Tanzania Kucheza Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara TPLB imethibitisha kuwa mchezo namba 135 kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga utachezwa leo Jumatano Aprili 24,2024 saa 10:00 jioni katika Uwanja wa Jenerali Isamhuyo Jijini Dar es salaam.

Hapo awali mchezo huo ulitakiwa kuchezwa Aprili 23, 2024 lakini uliahirishwa kutokana na Uwanja wa Isamhuyo kujaa maji kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jambo ambalo lilikwamisha mchezo huo kuchezwa.

Wale ambao walikata tiketi , watazitumia leo bila tatizo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad