TMA: Mvua Zitaendelea Mpaka Mwisho wa Aprili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TMA: Mvua Zitaendelea Mpaka Mwisho wa Aprili


Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) imesema mvua za vuli zitaendelea hadi mwisho wa mwezi Aprili na kutoa tahadhari ya siku tatu ya uwepo wa mvua kubwa katika baadhi ya mikoa ikiwemo Dar es salaam na Tanga.


Kwa siku za karibuni mvua imekuwa ikisababisha madhara na usumbufu mkubwa kwa wananchi.


Je, kwa tahadhari hii iliyotolewa na TMA unajiandaaje na siku tatu zijazo?

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad