Picha ya Utata ya Diamond Akiwa Amelala na VJ Penny Yasamba Mtandaoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Diamond Platnumz ataendelea kuwa newsmaker kuliko msanii yeyote Tanzania.

 Hauwezi kupita mwezi bila kuibuka kitu kitakachomfanya aandikwe tena na tena.

Katika picha iliyowekwa kwenye ukurasa wa Facebook wa msichana aitwaye Skyner Ally kuna picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala usingizi wa pono na msichana anayedaiwa kuwa ni mtangazaji wa DTV, Penny Mungilwa aka Vj Penny.
See Picture After Cut belew:



 Picha hii inajieleza yenyewe kwa pozi walilolaa kuwa ni wapenzi ama ni one night stand?

Hata hivyo tulipowasiliana na Penny alisema hiyo ni picha iliyopigwa walipokuwa kwenye scene ya movie wanayoigiza pamoja ambayo amesema hana uhakika lini itatoka!

Picha yenye Utata
Penny na Diamond  ndani ya  movie?????...!!? Ngoja  tuisubiri hiyo movie
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad