Beef Zito:Haya Ndio Majibu ya Sintah Kwenda kwa Mange Kimambi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Mange upo Dar nitafute unizabe sweet heart, ila kabla hujanizaba nenda kambembelezee sweet Albert poor u uliniomba nitoe comments sikutoa leo unanitukana SHAMIM MWASHA shahidi u begged msg, email ninazo nita print kwa wadau wako waone how desperate u were oooh sintah toa post nikasema sitoi maana sikuogopi.

NB
sigombani na wewe maana nitakuwa mtu wa laki tano hapa mjini tangu uanze kugombana na watu hivi hujiulizi una nini? najua una mtoto karibia umri wangu hebu mfundishe kuvaa pads mwanao, behave basiii soon  mwanao anaolewa, kuwa kama mama wa watoto wawili wewe sio duu tena

anyway si kosa lako maana hukufundwa ulikosa radhi ya mama, kumkimbia mama na kwenda matawi ya juu na kumuacha mama yako Tandale, basi mimi na wewe wote tuna papatikia matajiri si etiiii eeeh mwaego

bora mie ninaye kaa kwangu padogo ni kwangu je wewe unajikondesha u fit kwenye double deka tena nyumba ya hawara wa marehemu baba yako, mie na kagari kangu we na tax za Dar si ungenunua gari, ili usipate shida kama matajiri wenzio, tell ya wadauz ulivyo na maisha ya maigizo

nilikuwa nasubiri uanze sasa endelea,

dawa ya Mange jamani ni Unstoppable
mwenzenu anapiga simu huyo nita print mbona mie simsumbui, sijawahi kupokea cm yako unateseka kuniulizia nakaa wapi kama huogopi comments ungekituliza kama mabaga fresh sasa waniulizia kwa watu wa nini?
  shamim muulizeni anavyomkera ongea na sintah kudadadeki nakaa holy wood ya Tzzzz


yes nina MA  na wewe ya uarabuni ulikuwa unajifunza kuandika makombe ishiii

mimi nitanyamaza na sina ugomvi na wewe,,, ndo maana umetuma email, texts sikuwahi kuandika humu sasa leo umeanza

wewe original tandale pse ulizia my family background kabla hujanitukana au kwakuwa sijionyeshi kama wewe masikini akipata eeeh coz tumezaliwa navyo we umevikuta,,,

nitiacha hii post mpaka jnee nitaitoa coz of my career je wewe kazi wapi haaaa za kupewa na hubby una keep change

okaybyeeee

wadau 100% ya ile email ya huyu madam ni kweli aliandika asijikoshe kwenu si fekero ni yeye sasa kama mume yupo  hawara ya nini??

hakukunii eeh poor u upo kimasilahi eeh si mapenzi ndo maana unapaona pachungu ndoa ndoano dada yangu

Facebook, twitter, blogs zote umeharibu wewe ni mtu wa aina gani?


JESHI LA MTU MMOJA TU" Says Sinta..

Source: Sintah Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

22 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. how old are youuu women?,u just lower yoself dignity n respect stick on how to improve yo life standards n teach the young how to behave.if nngekuwa still live in tz could call huo n USWAHILII even if u ol want popularity but act Civilised

    ReplyDelete
  2. Huy Sintah kaisha jizeekea bac anataka kurud kwenye chat kwa kulazmisha hw cum yeye akorofshane na kila m2 anamatatzo huyu.af shule yenyew ya kuunga unga ooh mi nna MA waliosoma hawajitangz mbona hutuambii km ulisoma DSJ na zero yako ukakimbilia Uganda.To hell.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Silence is da best weapon to a fool mwenye akili will keep quite

      Delete
  3. Ushakua ayo ni ya watoto wa chekechea puuuuuuumbavuuuuuuu..

    ReplyDelete
  4. Fuck u Sinta fuck u Mange msituletee upumbavu humy

    ReplyDelete
  5. People with careers don't act childshly n stupidly like the way u guys are doing.If u've got nothing to tell,better shut up.Mnawaabisha wenzenu walioko kwenye tasnia yenu wenye maadili na focus

    ReplyDelete
  6. sasa ww unatoka wapi kumsumbua huyo mtoto? Hujionei aibu na limwili lako unampigia mtoto kelele.. Tuliza akili fanya kazi zako za msingi.. Au munatafuta umaarufu

    ReplyDelete
  7. Wajinga nyie wakati mnafanya upumbavu wenu mbona mlikua hamsimulii watu sasa vimebomoka mnajishaua kutuambia inahusu?hovyoooooo!

    ReplyDelete
  8. Nyoooo wote nyie ni mafala fanyeni kazi mmake dooo Watu waone sio maneno fuck u Sinta fuck u mange,,, nyoooooo

    ReplyDelete
  9. Hiyo ni person life ya mange so hata akiwa ametoka manzese rt nw amekuwa high classy ni life yake create ur own life sio mablog kwa sinta tumechoka kusikia story zako unatafuta umaarufu kupitia majina ya wenzako if ur blog haifundishi watu funga blog tafuta kazi ya kufanya..kama shule ya kuunga unga tafuta mume uolewa na ww mange na sinta grow up u guys

    ReplyDelete
  10. Hee he heeeeeeee.......yani mi huyu kibibi sinta ananifurahishaga balaa!yeye ni kutwaa kusema ya wenzie!madai eti anawarekebisha...juz kamtoa tena mtoto wa watu rayuu eti yupo uchi....kama ni huvyo mbona wengine hawatoi????juz kati hapa kuna msichana alipiga picha za ajabu kuliko hiyo ya rayuu na akaziweka instagram.. mbona huyu hakumtoa kumrekebisha????acha ujinga

    ReplyDelete
  11. Hee he heeeeeeee.......yani mi huyu kibibi sinta ananifurahishaga balaa!yeye ni kutwaa kusema ya wenzie!madai eti anawarekebisha...juz kamtoa tena mtoto wa watu rayuu eti yupo uchi....kama ni huvyo mbona wengine hawatoi????juz kati hapa kuna msichana alipiga picha za ajabu kuliko hiyo ya rayuu na akaziweka instagram.. mbona huyu hakumtoa kumrekebisha????acha ujinga

    ReplyDelete
  12. C kosa lako uzee unakusumbua kafue chupi kwanza

    ReplyDelete
  13. hmhmh achen utoto mange umetokea manzese haya yote maisha na sintah nawe ulikuwa mchafu ktk maisha yako yote sawa ila ukitaka kumrekebisha mtu co kwa style ya kutukana mweke chin mrekebishe coz nawe umetokea hukohuko kwenye uchafu tena unaonuka kumsema mtu vibaya huko co kurekebisha kingine kubal huwez kuwa kama mange japo wote mmetokea manzese.....hlf kingine mi ckuona ubaya wa rayuu na ile picha sababu hata ww huwa wapiga vile tena ww kwa chin mapaja yote waz sasa utamrekebishaje mtu kwa stle hiyo jaman hv mbona hamuig mfano wa shamim na dina jaman mhmh huu umaarufu huu unawacost yaan afadhar ya wema mara elfu

    ReplyDelete
  14. Wote wawili hamnazooo funny wasting ur tym postin shit...grow up girls

    ReplyDelete
  15. wewe sinta kiboko yako JUMA NATURE

    ReplyDelete
  16. Hakuna shule vichwani kwao wote.

    ReplyDelete
  17. Jamani nyie kina dada acheni kutukanana , jengeni hoja za msingi, shule ndogo poleni.

    ReplyDelete

Top Post Ad