Bibi Aficha Madawa ya Kulevya Kwenye Nywele Akamatwa Airport

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Giwa Ayoka Sikirat ni bibi mwenye umri wa miaka 53 ambae amekamatwa na kikosi maalum cha kuzuia dawa za kulevya huko Nigeria akiwa amezificha dawa za kulevya kwenye nywele kichwani na kuzifunika.
Alikamatwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abuja akiwa anaelekea Pakistan kwa kupitia Addis Ababa na Dubai ambapo pia aliemsindikiza Uwanja wa ndege amekamatwa, ni Joseph mwenye umri wa miaka 59.
Bibi huyo ambae anaonekana jasiri, imefahamika alishawahi kuhudhuria shule ya Fashion na maswala ya nywele huko Lagos mwaka 1994.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad