AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Tollywood Newz jijini Dar es Salaam alisema: “Hali yangu bado si nzuri ingawa natumia dawa lakini sijapata tiba sawasawa. Sina fedha na familia yangu kwa sasa imeishiwa kwa sababu magonjwa yanayonisumbua ni makubwa na yanahitaji fedha nyingi.
“Naiomba serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo isikie kilio changu. Hali yangu si nzuri, nahitaji msaada ili kuokoa maisha yangu. Nina imani nikipata tiba kamili nitapona na kurejea tena jukwaani.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Duuuuuuh waigizaji bongo miguu juu yani hoiiiii and utakuta yupo miaka mingi ktk fani yakuigiza na ameshatoa film nyingi but hela hata ya matibabu hana....mungu atakusaidia na inshallah utapata msaada..!!..??..°°..//..--..μμ..¶¶..「「..」」..()..)(..¤¤..
ReplyDeleteMm naona hawa wasanii wetu wanaubaguz flani pamoja na matabaka, mana hata haisikiki kwamba huyu dada anaumwa lakini akiumwa mtu km Ray kila kona watu wangepata habar na michango mikubwa wangemchangia, sasa cjui tunaenda wapi namna hii... Mungu atamjalia atapona jaman pole sana matumain..
ReplyDelete