Photos:Huyu Ndio Dereva Aliyemgonga Trafiki Polisi Bamaga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Jackson  Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita maeneo ya Bamaga-Mwenge  jijini Dar ss Salaam amepandishwa kizimbani leo katika mahakama ya Wilaya ya Kinondoni.

Mshitakiwa huyo ameachiwa kwa dhamana hadi kesi hiyo itakapo tajwa tena Aprili 15 mwaka huu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Je,ilikua maksudi???

    ReplyDelete
  2. Ni maksudi kwa sababu hakuonyesha hata hali ya kutaka kumuokoa

    ReplyDelete
  3. Usihukumu........

    ReplyDelete
  4. Ni makusudi maana hata ktk picha anaonekana kutabasamu tu badala ya kujutia alichokifanya

    ReplyDelete
  5. Hakuna mtu anapenda kuua makusudi hata jambazi huua ikibidi tu na uwe mbishi kama hana kisasi na wewe. Tatizo la matraffic wengi ni kuwa na jeuri ya sheria wakidhani serikali ni ngao tosha ya kuwakinga wasigongwe na gari. Mara nyingi askari husimama katikati ya barabara kusimamisha magari ghafla tu toka vichakani bila kujali kama gari haina akili, dereva anaweza kosea nk kwa kupanic. Sidhani huyu dereva alifanya makusudi vile nasikia aliwasha taa kubwa kuashiria uharaka na hatari ila traffic hakuondoka barabarani mpaka kugongwa. Hizi kazi lazima watumie common sense , utakaaje barabarani unaona gari laja mbio c bora lawama kuliko kifo? Lets say angeiacha ipite hv kweli ingeenda kumuua rais?

    ReplyDelete
  6. Mbona ana damu kwenye shati? Polisi hawamtesa kulipizza kisasi?

    ReplyDelete

Top Post Ad