Rushwa wazi wazi migodi ya Barrick

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni wawekezaji,ambao waliahidi kutoa fursa sawa za ajira kulingana na fani ya muombaji,lakini hali si shwari migodi ya barrick hasa buzwagi na bulyanhulu... Rushwa iko wazi bila pesa kazi hazipo,wanatangaza magazetini kila kukicha lakini kwa uhalisia barrick wameendekeza rushwa sana.

Tumefika hapo, tumekaa hapo muda mrefu imefikia hatua mtu anakuambia ni kiasi gani cha pesa utatoa ili kupata nafasi fulani,mfano kama kazi ina mshahara wa laki 8 kwa mwezi utatakiwa kutoa rushwa ya million moja,na watakupa mkataba wa miezi sita,ukihitaji kuendelea utatakiwa kulipa millioni tena'

Kwa ujumla migodi ya barrick hasa buzwagi na bulyanhulu imetapakaa rushwa,kazi inayohitaji mtu wa digrii utamkuta form four kigezo ni kwamba alitoa rushwa:Wanao husika hususani TAKUKURU tembeleeni maeneo hayo nendeni kijiji cha kakola,bugarama,ilogi na mwingiro halafu waulizeni wananchi suala hili watawaambia sababu ni jambo ambalo sasa limekuwa ni kama utamaduni..

Kama wapo humu wanaohusika waje wakanushe.
By Mdau
Source:Jamii Forums


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad