AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MKALI wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi amesema anaogopa kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wasanii wa filamu kwani wengi wao hawana mapenzi ya kweli.
Akipiga domo na paparazi wetu, Snura alisema tangu aanze kucheza filamu alijiapiza kuwa kamwe hatajiingiza kwenye mapenzi na waigizaji zaidi ya kushirikiana nao katika kazi ya kuzalisha filamu.
“Mimi siwapendi wanaume wasanii wa filamu, sijawahi kuwa nao labda awe msanii wa Bongo Fleva,” alisema Snura.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ya kwel hayo
ReplyDeleteAnitafute hata juta
ReplyDeleteHata yeye wa kusema hivyo?
ReplyDelete